Lupita Nyong’o aanza misele na mpenzi wake mpya raia wa Nigeria - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, 1 September 2016

Lupita Nyong’o aanza misele na mpenzi wake mpya raia wa Nigeria

    Lupita
Lupita Nyong’o ameonekana kwa mara ya kwanza akiwa na mpenzi wake mpya mwanamitindo mwenye asili ya Nigeria, Mobolaji Dawodu.

Wawili hao wameonekna Jumanne hii kwa mara ya kwanza wakiwa pamoja kwenye mchezo wa tennis kwenye mashindano ya US Open huko jijini New York wakati Serena Williams alipokuwa akicheza na Ekaterina Kakarova.
Siku chache zilizopita Lupita alithibitisha kuwa na mahusiano na mwanamitindo huyo huku akidai kuwa amemua kumweka mahusiano yake mitandaoni baada ya kumchunguza kwa muda wa miezi sita.

Dawodu ni mwanamitindo lakini pia ni muhariri wa jarida la mitindo GQ la nchini Marekani.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here