Nyumba ya Michael Jackson yatangazwa kuuzwa - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, 31 May 2016

Nyumba ya Michael Jackson yatangazwa kuuzwa

Hatimaye nyumba ya aliyekuwa staa wa muziki wa Pop duniani, Michael Jackson imetangaza kuuzwa.
MJ
Nyumba hiyo iliyopo eneo la Nevada huko Las Vegas imetangazwa kuuzwa na familia ya marehemu kwa dau la dola milioni 9.5. Aliyekuwa meneja wa staa huyo [Kristen Routh] amethibitisha kuuzwa kwa nyumba hiyo yenye eneo la mraba 24,276 huku ikiwa na vyumba saba vya kulala, mabafu 12 na eneo jingine kubwa.

Aidha imeelezwa kuwa fedha zitakazo patikana kwenye mauzo ya nyumba hiyo zitawezesha kusaidia watoto wa marehemu aliowaacha ambao ni Prince Michael Jackson II, Paris-Michael Katherine Jackson na Michael Joseph Jackson Jr.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here