Kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz leo walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo mastaa hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kupiga burudani Chuo kikuu cha Dodoma.
Post Top Ad
Thursday, 12 May 2016
Home
Unlabelled
Picha: Diamond na Mafikizolo Wakiwa Ndani ya Ukumbi wa Bunge Leo
Picha: Diamond na Mafikizolo Wakiwa Ndani ya Ukumbi wa Bunge Leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment