Rais Mugabe awa babu Zimbabwe - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, 17 May 2016

Rais Mugabe awa babu Zimbabwe

Mugabe
Kiongozi wa muda mrefu wa Zimbabwe Robert Mugabe, 92, amekuwa babu rasmi.
Hi ni baada ya bintiye wa pekee Bona Chikore kujifungua mtoto mvulana katika hospitali moja nje ya nchi hiyo.

Bi Chikore alijifungua mtoto huyo mwezi uliopita, gazeti la serikali la Herald limeripoti.
Bw Mugabe amesema mkewe Grace kwa sasa yuko pamoja nab inti huyo wao na mjukuu wao na kwamba watarejea Zimbabwe mwezi ujao.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here