Waandamanaji wampinga Trump New Mexico - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, 25 May 2016

Waandamanaji wampinga Trump New Mexico

Trump
Waandamanaji wanaompinga mgombea urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump wamekabiliana na polisi katika jimbo la New Mexico.
Walikuwa wakiandamana katika eneo ambapo Bw Trump alikuwa akifanya mkutano wake wa kampeni, nje ya ndani ukumbi mkuu wa mikutano wa Albuquerque.

Wamerusha fulana zilizokuwa zikiwaka moto zilizokuwa zimeandikwa kauli mbiu za kampeni ya Trump amoja na mawe an chupa za plastiki.
Polisi wa kukabiliana na fujo wametumia mabomu ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kuwatawanya.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here