Nick Cannon aendelea kugoma kumpa talaka Mariah Carey - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 6 June 2016

Nick Cannon aendelea kugoma kumpa talaka Mariah Carey

Ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini. Rapper Nick Cannon ameendelea kugoma kusaini talaka kwa Mariah Carey.

mariah-carey-nick-cannon-02
Wawili hao walidumu kwenye mahusiano kwa miaka saba waliachana tangu Agosti 2014 kwa kile kilichoelezwa kuwa Nick Cannon alichepuka nje ya ndoa yao.
Lakini mpaka leo Nick Cannon ameonekana kuwa mzito wa kutoa talaka kwa Mariah Carey kwa madai kuwa bado anampenda mpenzi wake huyo wa zamani na hataki aolewe na mpenzi wake wa sasa James Packer.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here