Rafael Nadal kutoshiriki michuano ya Wimbledon - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, 10 June 2016

Rafael Nadal kutoshiriki michuano ya Wimbledon

Nyota wa mchezo wa tenesi duniani Rafael Nadal ataikosa michuano ya Wimbledon kwa kusumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mkono wa kulia.
2016-Australian-Open-Recap-Rafael-Nadal-Wozniacki-Out
Nadal atakosa michuano hiyo itayoanza kutimua vumbi kuanzia Juni 27 mpaka julai 10, mchezaji huyu alithibitisha kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Facebook.

Rafael Nadal alindika “ingeweza kuniletea tatizo zaidi kama ningeendelea kucheza huku nikiwa na tatizo hili la kifundo cha mkono “.Kwa sasa Nadal anashika nafasi ya nne kwa ubora wa mchezo huu

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here