Trump aahidi kukomesha malipo ya wageni - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 30 May 2016

Trump aahidi kukomesha malipo ya wageni


Mgombea kiti cha Urais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amehutubia umati wa waendesha pikipiki Jijini Washington.

Trumph ametoa hotuba hiyo katika maadhimishoya kuwakumbuka maafisa wa polisi wa kiume na wa Kike wa Marekani.
Amesema watu walioko Marekani kinyume na sheria, wanahudumiwa vyema kuliko maveteran wa kijeshi suala ambalo amesema halitaendelea katika utawala wake.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here