Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, Linah, Yamoto Band watajwa kuwania tuzo za Afrimma 2016 - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, 21 July 2016

Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee, Linah, Yamoto Band watajwa kuwania tuzo za Afrimma 2016

Majina ya wasanii wanaowania tuzo za mwaka huu za Afrimma yametajwa. Diamond ameongoza kwenye orodha hiyo kwa kutajwa kwenye zaidi ya vipengele vinne.
13315583_1026229387453288_8274439660355472811_n
Tuzo hizo zitatolewa Oktoba 15 nchini Marekani. Tazama orodha ya wasanii wa Tanzania waliotajwa hapo chini.
AF 1
Diamond
Alikiba
Best Female East Africa
AF 2
Vanessa Mdee
Linah

Afrimma Video of the Year
AF 3
Unconditionally Bae – Sauti Sol & Alikiba
My Sweet Love – Akothee f/ Diamond
Music Producer of the Year
AF 4
Tudd Thomas
Best African Dancer
AF 5
Moses Iyobo
Best Collaboration
AF 6
Make Me Sing – Diamond & AKA
Best Africa Group
AF 7
Yamoto Band
Song of the Year
AF 8
Unconditionally Bae – Sauti Sol & Alikiba
Make Me Sing – Diamond & AKA

Artist of The Year
AF 9
Diamond
Best New Comer
AF 10
Harmonize

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here