Setilaiti ya Juno yafika Jupita - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday, 5 July 2016

Setilaiti ya Juno yafika Jupita


Ile Setilaiti ya Juno iliiyosafiri kwa miaka mitano kwenda katika sayari ya Jupita imefika kwenye sayari hiyo na kuanza kuizunguka.

Wanasayansi wanakadiria setilaiti hiyo ilifika muda mfupi ujao majira ya saa 12:15 asubuhi hii kwa saa za Afrika Mashariki.

Setilaiti hiyo inatarajiwa kudumu kwa mwaka mmoja na nusu kuchunguza sayari jinsi ilivyoumbwa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here