Cassper Nyovest
amekuwa rapper wa kwanza nchini Afrika Kusini kufikisha followers milioni 1
kwenye mtandao wa Instagram.
Rapper
huyo wa Doc Shebeleza amefikisha idadi hiyo ya followers wiki hii.
Mpinzani
wake, AKA bado anacheza kwenye 783k. Hata hivyo AKA anamkimbiza Cassper kwenye
Twitter akiwa na followers milioni 1.2, karibu mara mbili ya alionao Cas.
Kwa
Tanzania bado hakuna rapper mwenye followers milioni 1. Ni Joh Makini hata
hivyo ndiye atakayeifikia soon. Hadi sasa ana followers 992k.

No comments:
Post a Comment