Ilikuwa ni show ya mtu
mmoja na kwa picha alizoweka kwenye page yake ya Instagram, inaonesha jamaa
alihama na kijiji. Tazama picha hapo chini.
Diamond Platnumz ana
miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake. Kutoka kwenye mapokezi
yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi kuangusha show iliyohudhuriwa na
makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye
ligi yake mwenyewe.


No comments:
Post a Comment