Diamond ahama na kijiji Meru, Kenya - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 29 August 2016

Diamond ahama na kijiji Meru, Kenya

 Diamond Platnumz ana miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake. Kutoka kwenye mapokezi yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi kuangusha show iliyohudhuriwa na makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye ligi yake mwenyewe.

13671777_319693035044213_233868961_n
Ilikuwa ni show ya mtu mmoja na kwa picha alizoweka kwenye page yake ya Instagram, inaonesha jamaa alihama na kijiji. Tazama picha hapo chini.

14156347_1775207089425751_1172340590_n
13671919_1282252215127601_1775648976_n
14027213_1095438053845281_641594979_n
14032811_1809578062607780_791686996_n

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here