Nyumba ya Eddy Kenzo wa Uganda ‘kufuru’ - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, 17 August 2016

Nyumba ya Eddy Kenzo wa Uganda ‘kufuru’

   14033060_686096401538612_1815838956_n
Wasanii wa Uganda wanafahamika kwa utajiri mkubwa walionao ambao mara nyingi hupatikana kwa show za ndani zisizokauka.

Eddy Kenzo si msanii wa siku nyingi nchini humo lakini amefanikiwa si tu kuwa na mafanikio makubwa kuzidi wakongwe ikiwemo kushinda tuzo ya BET, bali pia kujikusanyia utajiri mkubwa.

Kupitia Instagram, staa huyo ameuonesha mjengo wake wa kifahari wa Kampala na kuwaacha mashabiki wakiwa mdomo wazi.
13628414_1189662124418365_2056469807_n
“God above everything. Autobiography hmmmm. ALHAMDLILAH,” ameandika kwenye picha hiyo juu.
14031733_1069569329763089_1904516409_n
“Ya Allah! Keep reminding me that the blessings in my life are due to your Mercy & not my actions. When I get proud, give me a wake up call. Good morning my lovely people may God bless you all ” ameandika kwenye picha nyingine.
Muimbaji huyo ambaye jina lake halisi ni Edrisa Musuuza, alianza kujipatia umaarufu mwaka 2014 kwa wimbo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here