Nipo kimya makusudi, nitarudi kwa kishindo maneno ya Nisher - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, 7 September 2016

Nipo kimya makusudi, nitarudi kwa kishindo maneno ya Nisher

                     4909085f-ebc6-4e20-be8b-acca502f195c
Muongozaji wa video nchini, Nisher amedai kuwa amelazimika kuwa kimya makusudi ili kujiandaa kuja na ujio wa awamu nyingine akiwa na nguvu zaidi.

Muongozaji huyo wa Arusha ameiambia Bongo5 kuwa hapendi tena kufanya mambo kawaida, bali kuja na kitu chenye kishindo cha kutisha.
“Right now I’m taking my time kidogo,” amesema Nisher kueleza kwanini ghafla amekuwa kimya tena. “I’m coming out with something big, ila nipo kwenye, so sio kitu cha haraka. Kwa upande wangu right now, I’m not about releasing kazi kila siku,” amesisitiza.
“I’m all about big moves basi. I do something big na chill nafanya mambo mengine na return na hit zingine na chill sababu kwa sasa nina mambo mengi sana kwenye sahani yangu, na kujigawa sana inakuwa kazi so na balance,” ameongeza.

Hivi karibuni pia Nisher alifuta picha zote kwenye akaunti yake ya Instagram.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here