Dayna Nyange azitaja nyimbo zake zinazokubalika mikoani kupitia jukwaa la Fiesta - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, 7 September 2016

Dayna Nyange azitaja nyimbo zake zinazokubalika mikoani kupitia jukwaa la Fiesta

         Dayna
Dayna Nyange amedai kuwa kupitia jukwaa la Fiesta mwaka la huu amefahamu nyimbo zake zinazopendwa na mashabiki wake wa mikoani.

Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa, steji ndio kipimo chake cha kuwajua mashabiki wake na kuwa karibu nao.
“Kikubwa nimefahamu ninavyokuwa kisanaa maana ni tamasha kubwa na nakutana na watu wengi. ‘Nivute Kwako’, ‘Ido’, ‘Komela’ na ‘Angejua’ zote zinapendwa na mashabiki wa mikoani,” amesema Dayna.

Msanii huyo ameongeza kuwa video ya wimbo wake ‘Komela’ aliomshirikisha Bill Nas imechelewa kutokana na kuingiliana kwa vitu ila amewataka mashabiki wake waendelee kuisubiria kwa kuwa maandalizi yote yapo tayari.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here