Mjini Kuna Mambo Mambo Zari amdhihaki hamisa, Hamisa Ajibu Hivi - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday 22 September 2017

Mjini Kuna Mambo Mambo Zari amdhihaki hamisa, Hamisa Ajibu Hivi

As usual wazazi mwenza wa mondi bin laden aka chibu dee aka simba baba Abdul,au baba latifa Leo wameendeleza drama na kutuacha wambea wa snap chat name IG hooii baada ya Mama watano kutuma ujumbe huu km dongo kwa mama
Hamisa sio mchache akajibu hivi  



Ngoma draw ila hapo mobeto ataonekana mkorofi maana bibie bossylady kafuta fastaa baada ya kuona kachenjiwa na mashabiki

Ngoja tuendelee kufaidi uhondo na hivi hali zenyewe za kupambana nazo wallahi mjini patamu

My advice Zari na hamisa ninyi wazazi acheni utoto kama kiki mshapata inatosha msiwajengee chuki watoto wenu na kati yenu nyote mahawara hakuna mwenye ndoa

Jitambueni bwanaa mbea mimi mnanikwaza japo umbea mtamu

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here