Hatimaye Rosa Ree amjibu Gigy Money (+video) - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday 8 November 2017

Hatimaye Rosa Ree amjibu Gigy Money (+video)

Hili Hapa Jibu la Rosa Ree kwa Gigy Money
Msanii wa muziki wa rap Bongo, Rosa Ree amejibu iwapo alishazipata taarifa za Gigy Money kuhitaji kufanya naye kolabo.

Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya Dow amesema uwezekano wa kufanya kolabo upo kwani Gigy ni msanii mzuri na ameshasikiliza kazi zake.
“Kweli naona kazi zake zinafanya vizuri, hatujawahi kukaa na kuongea kuhusu kufanya kazi lakini itatokea ni kitu ambacho hakina shida, tufanya tu” Rosa Ree ameiambia Bongo5.
June mwaka huu Rosa Ree alisema hana mpango wa kufanya kolabo na Shilole kwa sasa kwa sababu yeye siyo shabiki wake ila kwa upande wa Rosa Ree sawa.
“Sina hata mpango wala sitaki, sio fun wake (Shilole), labda Rosa Ree, tatizo la watu walio up wanasumbua, so hip hop its better, mimi ningepata mtu wa kuniandikia niwe nachana ningependa, I don’t love this kind of music ambayo nafanya, nafanya ili nipate hela, mimi napenda hip hop,” alisema Gigy.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here