Katika kanda ya video iliopatikana na mtandao wa TMZ,Justin
anaonekana kupita katikati ya watu kabla ya mkono wa mtu kuonekana ukimgusa
upande mmoja wa uso wake.
Justin aligeuka na kumuuliza, ndugu mbona ufanye kitendo kama
hicho?
Walinzi wake walimvuta msanii huyo mwenye umri wa miaka 35
lakini baadaye akaonekana akizungumza na mshukiwa huyo.

No comments:
Post a Comment