Wiki
hii nchi hiyo imekumbwa na mauaji kwa polisi wa kizungu kuwaua watu wawili
weusi huko Louisiana na Minnesota kabla ya jana kundi la watu kulipiza kisasi
kwa kuwaua polisi wamne huko Dallas.
Mastaa kibao wa nchi hiyo wameonyeshwa kusikitishwa na mauaji
hayo yaliyotokea akiwemo Queen Bey kwa kuandika ujumbe uliosema, “This is a
human fight. No matter your race, gender or sexual orientation. This is a fight
for anyone who feels marginalized, who is struggling for freedom and human
rights.”
Hata hivyo hayo siyo
mauji ya kwanza juu ya watu weusi. Mwaka jana pia yalitokea mauaji
yaliyomhusisha polisi wa kizungu kwa kumuua mtoto mweusi.

No comments:
Post a Comment