KIKI Aliyoitafuta Mh Temba Yafeli ni baada ya kuweka picha za harusi feki - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday, 25 July 2016

KIKI Aliyoitafuta Mh Temba Yafeli ni baada ya kuweka picha za harusi feki

Mashabiki wa muziki katika mitandao ya kijamii wazipokea kiutofauti picha zinazomuonyesha msanii wa muziki kutoka TKM Wanaume Family, Temba akiwa amefunga ndoa.
               Temba
Temba akiwa na mrembo kutoka Afrika Kusini.
Huwenda ikawa sio kweli kama mashabiki katika mitandao ya kijamii wanavyozungumza kutokana na rapper huyo kuonekana hivi karibuni akiwa na director Justin Campos wa Afrika Kusini.

Wiki moja iliyopita, Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Mkubwa Fella alitoa taarifa kwa mashabiki wa muziki kwamba staa huyo anaelekea nchini Africa Kusini kuandaa kazi mpya.
            
aaa
awx
Kupitia ukurasa wa instagram, msani wa kundi la TMK Wanaume Family Chege aliandika:
Naomba sana nisaidieni kumpa hongera amani james kwa jambo hili la kheri
HONGERA sana bro Temba.
Baada ya kauli hiyo, mashabiki katika mitandao ya kijamii wamekuwa na maoni tofauti juu wa picha hiyo.
Mwigane
_Jamani eeh? Uyu jamaa. Si” arishaoa? Au hiyo ni video ya wimbo?
Salehenemganga579
Kweli jamani alioaga uyu.duh nas anakipaji.tena alioaga kiti kama st joseph au st alban dah
Allie_kb
Hii ni nyimbo bila shaka maana @mhtemba alishaowa kipind cha nyuma
tathriba_
mmhhh watu hawataki kutoa kiki wameshtuka

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here