Mirror avunjika mguu katika ajali ya gari - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday, 19 August 2016

Mirror avunjika mguu katika ajali ya gari

                   Mirror
Msanii wa muziki, Mirror hivi karibuni amepata ajali mbaya ya gari akiwa anaendesha kutoka katika studio za AM Records pande za Tandale akielekea Ununio.


Katika ajali hiyo, muimbaji huyo amevunjika mguu wa kulia na itachukua miezi mitatu kukaa sawa.
“Mguu umevunjika kabisa, kwa hiyo nimefanyiwa upasuaji na wameunga kabisa mfupa. Nipo hospitali ya private ipo Tegeta, wamenifanyia upasuaji wakawaida, na wameniwekea antena za ndani kwa ndani,” Mirror alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM.

Mpaka jana muimbaji huyo alikuwa bado hajaruhusiwa kuondoka katika hospitali ambayo amelazwa kwa ajili ya matibabu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here