Nandy amchukua Mr Blue kwenye remix ya Nagusa Gusa - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, 25 August 2016

Nandy amchukua Mr Blue kwenye remix ya Nagusa Gusa

   13557058_1621979664760259_2126904976_n
Nandy ameamua kumchukua Mr Blue kwaajili ya remix ya ngoma yake, Nagusa Gusa.

Amesema ameamua kuja remix ili kutafuta ladha tofauti. Akiongea kwenye kipindi cha Extra Fleva cha Uplands Fm – Njombe kinachoendeshwa na Ergon Elly,Nandy alisema awali kwenye wimbo huo alitakiwa kumshirikisha msanii lakini kwa kuhohofia maneno ya watu kuwa amebebwa, ilibidi autoe akiwa mwenyewe.

Ameongeza kuwa remix imechangamka zaidi na baada ya Fiesta watashoot video yake.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here