Msemaji wake James Gatdet Diak alisema kiongozi huyo amefanikiwa
kuhamia taifa jirani, ambalo hakulitaja jina.
Rais Kiir alimfuta kazi Dkt Machar mwezi uliopita.
Bw Taban Deng Gai aliteuliwa kuchukua nafasi yake.
Dkt Machar alikuwa awali amesema hatarejea Juba hadi kuwepo na
kikosi cha wanajeshi wasioegemea upande wowote cha kumlinda.

No comments:
Post a Comment