Kampuni ya uogeleaji ya Speedo
ilikuwa ya kwanza kusitisha mkataba wake ikifuatiwa na Luxury retailer, Ralph
Lauren, The Skin Care company,na Kampuni ya matress na Airweave.
Lochte bado anakabiliwa na
mashitaka ya kujibu kwa mamlaka ya michezo nchini Brazil ikiwa ni uhalifu
pamoja na utovu wa nidhamu.
Mwandishi wa BBC
amesema kuwa muogeleaji huyo anaweza kutokushiriki kabisa mashindano mengine ya
kuogelea.

No comments:
Post a Comment