Schweinsteiger: Sito endelea kucheza tena soka Ulaya, Man United ndio klabu yangu ya mwisho - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, 25 August 2016

Schweinsteiger: Sito endelea kucheza tena soka Ulaya, Man United ndio klabu yangu ya mwisho

  Bastian Schweinsteiger (5)
Kiungo wa Manchester United, Mjerumani Bastian Schweinsteiger, ambaye ameonekana kukosa nafasi kwa kocha Jose Mourinho, amesema hafikirii kujiunga na timu nyingine ya barani Ulaya, na badala yake ataenda kucheza soka katika Ligi ya Marekani au Asia.



Schweinsteiger alitumia account yake ya instagram kutoa taarifa kwamba Manchester United ndio itakuwa klabu yake ya mwisho kuitumikia barani ulaya, akisisitiza United ndio klabu pekee ambayo ingeweza kumuondoa Allianz Arena. Hivyo kwa sasa ataendelea kubaki Manchester na kocha atakapomhitaji basi ataenda kuitumikia klabu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here