Nahodha wa Ghana
Asamoah Gyan ameshindwa kujiunga na klabu ya Reading inayoshiriki ligi daraja
la kwanza (Championship) kwa mkopo wa muda mrefu.
Mchezaji
huyo wa zamani wa klabu ya Sunderland alitarajiwa kujiunga na The Royals akitokea
klabu ya Shanghai SIPG ya nchini China.
Kwa
mujibu wa BBC, Gyan, 30, hataweza tena kujiunga na klabu hiyo baada ya ripoti
kutoka kwamba amefeli vipimo vya afya.

No comments:
Post a Comment