Asamoah Gyan ashindwa kujiunga na klabu ya Reading - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Thursday, 1 September 2016

Asamoah Gyan ashindwa kujiunga na klabu ya Reading

   asamoah-gyan-ghana-football_3208617
Nahodha wa Ghana Asamoah Gyan ameshindwa kujiunga na klabu ya Reading inayoshiriki ligi daraja la kwanza (Championship) kwa mkopo wa muda mrefu.

Mchezaji huyo wa zamani wa klabu ya Sunderland alitarajiwa kujiunga na The Royals akitokea klabu ya Shanghai SIPG ya nchini China.

Kwa mujibu wa BBC, Gyan, 30, hataweza tena kujiunga na klabu hiyo baada ya ripoti kutoka kwamba amefeli vipimo vya afya.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here