King Crazy GK amewataka wasanii warudi shule ili waache kuendeshwa
kwenye muziki.
Rapper
huyo amedai kuwa wasanii wengi wamekuwa wakipelekwa pelekwa na watu lakini kama
wangekuwa na elimu wangeweza kujiamulia wenyewe cha kufanya.
“Wasanii warudi shule, wengi
wamekuwa wakipelekwa pelekwa kwa kuwa hawana elimu. Kama ukiwa na elimu yako
unaweza ukajiamulia mwenyewe cha kufanya kutokana na elimu uliyokuwa nayo na
kikawa kizuri zaidi,” amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa TV.
Rapper huyo ambaye anafanya vizuri
na wimbo ‘Mzuri Pesa’ ameongeza kuwa amekuwa akiwatumia madirector kutoka nje
kwa kuwa wakija wanajua huku tunataka nini
No comments:
Post a Comment