Hakuna siri tena: Mahusiano ya Young Dee na Amber Lulu hadharani - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday, 12 October 2016

Hakuna siri tena: Mahusiano ya Young Dee na Amber Lulu hadharani

       Image result for picha za amber lulu
Ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali. Ukweli wafahamika baada ya mara kadhaa rapper Young Dee kukanusha kuwahi kuwa na mahusiano na video vixen kutoka kwenye kiwanda cha Bongo Fleva, Amber Lulu.

Akiongea na U-Heard ya Clouds FM, Amber Lulu amefunguka ukweli kwa kusema kuwa amekuwa na mahusiano na rapper huyo kwa tangu miaka minne iliyopita wakati akiwa mkoani Mbeya.

“Marafiki zangu wanajua ni jinsi gani nilivyokuwa naishi naye, mara ya mwisho alikamatwa na polisi mimi ndio nilienda kumtoa ndugu zake wote walikataa kwenda, Mimi nimeenda. Matatizo yangu yeye anayafurahia ina maana. Sikuwa nimefanya vile kwa kuwa alikuwa ni mpenzi wangu ni mtu ninayemfahamu siku nyingi na ambaye tupo wote,” amesema Amber.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here