Mtayarishaji wa video za muziki nchini, Nisher baada ya ukimya wa muda
mrefu bila kuachia kazi anajipanga kuja kuvingene huku akiwa na vifaa vipya na
vya gharama kubwa.
Mshindi
huyo wa tuzo ya Muongozaji wa Video anayependwa katika Tuzo za watu 2014,
ameonyesha kijihimarisha zaidi katika vifaa ili kukabiliana na ushidani uliopo
kwenye game.
“Now me to re-introduce Myself My
Name is NISHER, DIRECTOR NISHER. Cant wait for you to see what I’m doing with
MY ALL NEW $ 15,000 Camera. It’s Crazy!!,” aliandika Nisher instagram.
Nisher ni mmoja kati ya waongozaji
wa video nchini ambao walifanya vizuri katika tasnia ya muziki na kufanya
mapinduzi.
No comments:
Post a Comment