Majaliwa aahidi kulindwa kwa michango ya waathirika wa tetemeko - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Wednesday 5 October 2016

Majaliwa aahidi kulindwa kwa michango ya waathirika wa tetemeko

   waz

Waziri mkuu Kassim Majaliwa, amewahakikishia wote wanaochangia katika mfuko wa maafa kwaajili ya waathirka wa tetemeko la ardhi mkoani Kagera, michango hiyo italindwa na kutumika kwa kazi iliyokusudiwa.
Akizungumza katika hafla ya kupokea misaada mbalimbali iliyotolewa na zaidi ya kampuni 17 za mjini Dar es Salaam kwaajili ya waathirika wa tetemeko hilo, waziri Majaliwa amesema michango hiyo itafanya kazi iliyokusudiwa.
“Naomba nitumie nafasi hii kuendelea kuwatia imani kwamba fedha hii mnayoichanga, yote itakwenda Kagera, kama tulivyowaahidi tutasimamia,” alisema Majaliwa.

BY: EMMY MWAIPOPO

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here