Mwanamuziki raia wa Rwanda aliye na hofu ya kurudi nyumbani - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Tuesday 11 October 2016

Mwanamuziki raia wa Rwanda aliye na hofu ya kurudi nyumbani

    Corneille alipoteza familia yake yote mwaka 1994
Mwaka 1994 alikuwa na umri wa miaka 17 akiishi nchini Rwanda kwenye familia moja tajiri na ndoto yake ilikuwa ni ya kuwa muimbaji maarufu.

Lakini maisha ya Corneille Nyungura yalichukua mkondo mwingine kwa ghafla wakati yalitokea mauaji ya kimbari ya mwaka mwaka 1994 wakati takriban watu 800,000 wa kabila la watusi na wahutu wachache wenye msimamo wa wastani waliuawa.
Wakati kundi la wauaji lilipowasili nyumbani kwao, Corneille alijificha nyuma ya sofa wakati familia yake yote ilichinjwa
Sasa yeye ni raia wa Canada na mmoja wa wanamuziki bora zaidi wa RnB kutoka nchini Rwanda na amekuwa akiimba kwa miaka 20 iliyopita

Akijaribu kukubaliana kile kilichotokea nchini mwake mwaka 1994, Corneille anasema kuwa na uoga wa kurudi nyumbani kwao.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here