Nay wa Mitego Awatosa Alikiba na Diamond - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday 6 November 2017

Nay wa Mitego Awatosa Alikiba na Diamond


Nay wa Mitego amefunguka na kuzitaja ngoma kubwa ambazo zimepata umaarufu mkubwa zaidi nchini na kusema ni ngoma ya Muziki ya Darassa, Moyo Mashine ya Ben Pol, Bongo Bahati mbaya ya Young D na Wapo ya Ditto huku akizitosa ngoma za Alikiba na Diamond.


Ney wa Mitego amesema hayo kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) na kudai hizi ndiyo ngoma kali ambazo zilitoka na kuwa kubwa kila kona nchini na kuleta mpaka misemo mtaani huku akidai zipo nyimbo nyingine zilikuwa kubwa lakini hazikuwa na matokeo makubwa kama ngoma hizo alizozitaja.
Mtazame hapa akifunguka zaidi. 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here