Steve Nyerere: "Wamesema nina UKIMWI - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Friday 12 January 2018

Steve Nyerere: "Wamesema nina UKIMWI


Msanii wa filamu nchini Tanzania na mwanasiasa Steve Nyerere amefunguka na kusema kuwa kutokana na matatizo ambayo anapitia ikiwa pamoja na maradhi yake kuna watu wengi wamekuwa wakisema kuwa ameathirika na kukwama.


Steve amesema hayo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNewz na kudai kuwa kwa sasa anasumbuliwa zaidi na miguu na kama kuna watu wamemtumia uchawi basi anawaomba msamaha wamsamehe ili aweze kupona

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here