
Madereva wa malori kutoka Tanzania
waliokuwa wametekwa katika nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo hatimaye
wameokolewa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo.
Waziri wa mambo ya ndani wa nchi
hiyo amezungumza na shirika la utangazaji la BBC na kusema wote
wameokolewa na wako salama
Taarifa iliyotolewa jana na
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ilieleza kuwa
watekaji hao ni kikundi cha waasi cha MaiMai ambao baada ya kuyateka magari 8
toka Tanzania , waliwashusha madereva na kuwapeleka porini na kisha kuteketeza
kwa moto malori manne ambayo yote ni ya Bw. Dewji.
Waasi hao walioa saa 24 kuanzia jana saa 10 jioni walipwe fedha kiasi cha Dola za Kimarekani 4,000 kwa kila dereva ili waweze kuwaachia.
Waasi hao walioa saa 24 kuanzia jana saa 10 jioni walipwe fedha kiasi cha Dola za Kimarekani 4,000 kwa kila dereva ili waweze kuwaachia.
No comments:
Post a Comment