Unayafahamu mambo kumi (10) ya kuvutia kuhusu Africa? - OREST NGOWI

Breaking

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Monday 10 October 2016

Unayafahamu mambo kumi (10) ya kuvutia kuhusu Africa?

   Image result for picha ya bara la africa
1. Chura wakubwa Zaidi duniani wanapatikana nchini Cameroon barani Africa na wana urefu wa futi moja na wamepewa jina la Golliath.


2. Africa ni bara la pilli kwa ukubwa duniani na hujumuisha asilimia 22 ya ardhi ya dunia.

3. Africa ina makabila yapatayo 3,000. Na Nigeria pekee ina makabila Zaidi ya 370.

4. Africa ndio sehemu yenye wanyama wakubwa Zaidi waishio ardhini, ambao ni tembo na wanauzito kati ya tani 6 hadi 7.

5. Moja kati ya vyuo vikuu vikongwe Zaidi ulimwenguni hupatikana Timbuktu Africa na kilianzishwa karne ya 12.

6. Mlima Kilimanjaro uliopo Tanzania ndio mlima wenye kilele kirefu Zaidi Africa, una urefu wa mita 5,895 kutoka katika usawa wa bahari.

7. Mto nile ndio mto mrefu Zaidi duniani, una urefu wa kilometa 6,670 na hupita katika nchi za Tanzania, Uganda, Sudani na Egypt.

8. Nusu ya almasi dunia hutoka kusini na katikati mwa bara la Africa.

9. Ziwa Victoria ndio ziwa kubwa Zaidi barani Africa na ni ziwa la pili kwa ukubwa duniani kwa maziwa yasiyo na maji chumvi.


10. Ziwa Nyasa ndio ziwa pekee lenye aina nyingi za samaki kwa maji yasiyo na chumvi duniani.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Responsive Ads Here